NICTBB inafanya kazi kama biashara ya jumla ikilenga kwenye miunganisho ya huduma. Huduma zinatolewa kwa watoa huduma pekee walioruhusiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Standard Synchronous Digital Hierarchy (SDH) na Standard IP Ethernet zinatumiwa kutoa huduma kutoka mwanzo hadi mwisho katika hali ya kulindwa. Huduma hizi zinapatikana katika upana wa bendi zifuatazo:
Capacity: (Layer 2 & IP Transit)
1GbE
2.5Gbps
10Gbps
40GbE
100GbE
200GbE
Upto 10 Terabytes upon demand